Mihangaiko | Hapa na Pale
Hapa na Pale Katika Maisha
Tuesday, April 10, 2012
MAANDALIZI YA MAZISHI YA STEVE KANUMBA YAENDELEA VIWANJA VYA LEADERS
Wanakamati wa shughuli ya kuandaa mazishi ya marehemu Steven Kanumba wakijadiliana jambo katika Viwanja vya Leaders leo.
Maua yaliyoandaliwa na wanakamati hao.
Jukwaa la shughuli hiyo likiandaliwa.
Ujenzi wa jukwaa hilo ukiendelea.
Canter likisomba viti kwa ajili ya shughuli ya hapo jana.
PICHA ZOTE NA ERICK EVARIST/GPL
Kwa Hisani ya GPL
Newer Post
Older Post
Home