Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akiwapungia wananchi wakati alipokuwa akiingia katika uwanja wa Uhuru
jijini Dar es salaam kuongoza maadhimisho ya mika 48 ya Muungano wa
Tanganyika na Zanzibar leo asubuhi.
Amiri
jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua vikosi vya ulinzi na
usalama wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya miaka 48 ya Muungano wa
Tanganyika na Zanzibar katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mama Maria Nyerere leo katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa CUF Profesa
Ibrahim Lipumba wakati alipowasili katika uwanja wa Uhuru kuongoza
sherehe za Muungano zilizofanyika leo jijini Dar es salaam.picha na
Freddy Maro.