Monday, October 10, 2011

vibaka waingia kwenye mjengo wa clouds na kutaka kuiba gari la sebastian mag...

 
 

Sent to you by G via Google Reader:

 
 

via MICHUZI by Michuzi on 10/10/11

 Meneja wa Vipindi wa Radio Clouds 88.4 Fm,Sebastian Maganga akionyesha kadi ya gari lake kwa waandishi wa habari,waliyokutwa nayo vibaka waliotaka kuiba gari lake lililokuwa limepaki kwenye eneo la kuegeshea magari,mchana huu.
 Baadhi ya Wafanyakazi wa Clouds Media wakiwa wamelizunguka gari la Polisi lililokuwa limewapakia vibaka hao ambao walishtukiwa haraka kutokana na gia waliyoingia nayo ya kujifanya wao ni mafundi wa gari hilo na wameagizwa na Sebasitian Maganga.
 Askari Polisi waliofika eneo la tukio wakiwa na watuhumiwa hao ndani ya gari lao huku baadhi ya wafanyakazi wa Clouds wakiendelea kuwacheki vibaka hao bila hata ya kuwamaliza.
 Vibaka wakiwa ndani ya gari la Polisi,cheki sura zao zilivyo,yaani hata hawafananii na kitu walichotaka kukifanya.
 Gari ya Polisi likitoka ndani ya jengo la Clouds Media.
 Gumzo likiendelea kwa wafanyakazi wa Clouds mara baada ya kutokea kwa tukio hilo.
Msimamizi mkuu wa Madereva wa Clouds Media Group,Mzee Mrope akizungumza na waandishi wa habari juu ya tukio hilo ambalo alilishuhudia na kuamrisha askari wawaweke chini ya ulinzi vibaka hao mpaka Polisi walipofika na kuwachukua.

 
 

Things you can do from here: