
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani
kwa Marehemu, Boko, Dar es Salaam.
Tunaomba tuungane na Familia ya Marehemu Prof. Mkilaha katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo ya msiba huu mkubwa.
Mkurugenzi Mkuu
SUMATRA
25 Juni, 2016