Monday, May 11, 2015

BREAKING NEWS: Watoto watatu wakutwa chini ya Chesesi ya basi la Mghamba wakati trafki wakifanya ukaguzi wa gari hilo Mkoani Singida



BREAKING NEWS: Watoto watatu wakutwa chini ya Chesesi ya basi la Mghamba wakati trafki wakifanya ukaguzi wa gari hilo Mkoani Singida

Habari zilizotufikia huvi punde‬ Watoto watatu waliokuwa wakiishi 

Kahama wamekutwa wakiwa chini ya Chesesi ya basi la Mghamba 

linalofanya safari zake kati ya Kahama na Arusha wakati 

Askari wa usalama barabarani wakifanyia ukaguzi gari hilo 

Mkoani Singida. Endelea kufuatilia taarifa zetu kufahamu zaidi.