Saturday, January 10, 2015

Lowassa asalimiana na wananchi baada ya kusimikwa uaskofu mchungaji Solomon Jacob Masangwa jijini arusha



Lowassa asalimiana na wananchi baada ya kusimikwa uaskofu mchungaji Solomon Jacob Masangwa jijini arusha
 Waziri mkuu wa mstaafu na  mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akisalimiana na mamia ya waumini wa  kanisa la KKKT Kimandolu jijini Arusha baada ya Ibada ya kusimikwa uaskofu mchungaji Solomon Jacob Masangwa kuwa askofu wa dayosisi ya kaskazini Kati leo Jumamosi  Waumini hao walipigana vikumbo kumpiga picha na simu zao.