Friday, January 09, 2015

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Sefue akutana na Mabalozi ikulu


Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Sefue akutana na Mabalozi ikulu
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akikutana na mabalozi wa nchi za nje na wakuu wa mashirika ya kimataifa yaliyo chini ya Umoja wa Mataifa Ikulu jijini Dar es Salaam leo
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiongea  na mabalozi wa nchi za nje na wakuu wa mashirika ya kimataifa yaliyochini ya Umoja wa Mataifa ikulu jijini Dar es Salaam leo
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akisikiliza hoja za mabalozi wa nchi za nje na wakuu wa mashirika ya kimataifa yaliyochini ya Umoja wa Mataifa ikulu jijini Dar es Salaam leo. Picha na Freddy Maro