WAZIRI MKUU NA MATUKIO BUNGENI DODOMA
WAZIRI MKUU NA MATUKIO BUNGENI DODOMA Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wanachama wa SACCOS ya Katoro , Geita waliotembelea Bunge mjini Dodoma Novemba 24, 2014 kwa mwaliko wa Mbunge wao, Lolesia Bukwimba. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu)