Tuesday, November 25, 2014

PINDA AHUDHURIA SHEREHE ZA KUMWEKA WAKFU ASKOFU WA ANGLICAN DODOMA


PINDA AHUDHURIA SHEREHE ZA KUMWEKA WAKFU ASKOFU WA ANGLICAN DODOMA
unnamed1Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya picha Askofu  wa Dayosisi ya Central Tanganyika,Dkt. Dickson Chilongani katika ibada ya kumweka wakfu  Askofu huyo iliyofanyika kwenye kanisa kuu la Anglican mjini Dodoma Novemba 23, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

unnamed4Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na washiriki wa ibada ya kumweka wakfu, Askofu wa Da yosisi ya Central Tanganyika,Dkt. Dickson Chilongani   kwenye  kanisa Kuu la Anglican mjini Dodoma  Novemba 23, 2014.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
unnamed Baadhi ya washiriki wa  Ibada ya  kumweka wakfu Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika,Dkt. Dickson Chilongani  wakimsikiliza Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati alipozungumza kwenye ibada hiyo iliyofanyika kwenye kanisa Kuu la Anglican mjini Dodoma  Novemba 23, 2014.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)