Wanachama wa Jumiya ya Watu wanaoishi na maradhi ya kisukari Zanzibar na wafanyakazi wa kitengo cha maradhi hayo kutoka Hospitali Kuu ya Mnazimmoja wakiwa kwenye maandamano ya kuadhimisha siku ya kisukari Duniani yaliyoanzia viwanja vya Maisara na kumalia viwanja vya Malindi Novemba 14.
Wanachama wa Jumuiya hiyo wakionyesha bango lenye ujumbe mahasusi wa kimataifa wa siku ya kisukari Duniani katika maandamano ya kuadhimisha siku hiyo Novemba 14.
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo (suti nyeusi) akiyapokea maandamano ya wanajumuiya ya watu wanaoishi na maradhi ya kisukari Zanzibar katika viwanja vya Malindi Mjini Zanzibar.Picha na Makame Maelezo Zanzibar.