Friday, November 07, 2014

kikao cha kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira chafanyika jijini Dar leo



kikao cha kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira chafanyika jijini Dar leo
Profesa Richard Kangalawe akiwasilisha maoni kuhusu Rasimu ya Sera ya Mazingira katika kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa NIMR Jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Injinia Angelina Madete akifungua kikao cha kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira jijini Dar es Salaam.
Wajumbe kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais wakisikiliza maoni kuhusu mapitio ya Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira iliyowasilishwa na jopo la Wataalamu katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa NIMR Jijini Dar es Salaam.