Wednesday, November 19, 2014

KATIBU MKUU MPYA WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII AKABIDHIWA OFISI




KATIBU MKUU MPYA WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII AKABIDHIWA OFISI
  KATIBU MKUU WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII DKT.ADELHELM  JAMES MERU AKIFANYA MAKABIDHIANO YA OFISI  NA ALIYEKUWA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MALISILI NA UTALII, BI. MAIMUNA  TARISHI YALIYOFANYIKA JANA JIONI TAREHE 17/11/2014  MPINGO HOUSE JIJINI DAR ES SALAAM.          

 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi. Maimuna  Tarishi, akimkabidhi vitendea kazi  Katibu Mkuu Mpya wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt.Adelhelm  James Meru, yaliyofanyika jana jioni tarehe 17/11/2014  Mpingo House Jijini Dar es salaam.
 Aliyekuwa Katibu Mkuu  wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi. Maimuna Tarishi,  akipeana mkono   mara  baada ya kumkabidhi vitendea kazi Katibu Mkuu Mpya wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Dkt.Adelhelm 
Katibu Mkuu Mpya wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt.Adelhelm  James Meru,  Akiwa kwenye picha ya pamoja  na aliyekuwa  Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi. Maimuna  Tarishi, mara  baada ya kukabidhi  vitendea kazi  yaliyofanyika jana jioni tarehe 17/11/2014  Mpingo House Jijini Dar es salaam. Mwingine ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. Selestini Gesimba.