Thursday, October 02, 2014

SSRA yakutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari jijini Dar


SSRA yakutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari jijini Dar

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka (kulia) akizunguma wakati wa semina ya wahariri wa vyombo vya habari, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Picolo, Kawe jijini Dar es Salaam. Kushoto ni baadhi ya wahariri hao.
Mkurugenzi wa Utafiti, Tathimini na Sera wa SSRA, Ansgar Mushi akiwasilisha mada kuhusu Mafao ya Pensheni, wakati wa semina hiyo ya wahariri, Dar es Salaam jana.
Baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari, wakisikiliza mada hiyo, iliyokuwa ikiwasilishwa na Mkurugenzi wa Utafiti, Tathimini na Sera wa SSRA, Ansgar Mushi.
Wahariri wakifuatilia mada iliyokuwa ikiwasilishwa katika semina hiyo.