Saturday, October 04, 2014

SOSOPI AHUTUBIA WAKAZI WA MANISPAA YA IRINGA


SOSOPI AHUTUBIA WAKAZI WA MANISPAA YA IRINGA
MAKAMU Mwenyekiti wa Baraza la Vijana (BAVICHA), Taifa, Patrick Ole Sosopi.

MAKAMU Mwenyekiti wa Baraza la Vijana (BAVICHA), Taifa, Patrick Ole Sosopi,akihutubia umati wa wakazi wa manispaa ya iringa na katika mkutano wa hadhara wa chama hicho jana katika viwanja vya kihesa sokoni.(Picha na Friday Simbaya)