Wednesday, October 01, 2014

Mkutano sekta ya mawasiliano 'Connect to Connect Summit' waendelea Dar


Mkutano sekta ya mawasiliano 'Connect to Connect Summit' waendelea Dar
Wataalamu wa sekta ya                  mawsiliano wakiwa katika majadiliano katika mkutano wa                  masuala ya TEHAMA 'Connect-to-Connect Summit'                  unaofanyika jijini Dar es Salaam.
Wataalamu wa sekta ya mawsiliano wakiwa katika majadiliano katika mkutano wa masuala ya TEHAMA 'Connect-to-Connect Summit' unaofanyika jijini Dar es Salaam. Wataalamu wa sekta ya                  mawsiliano wakiwa katika majadiliano katika mkutano wa                  masuala ya TEHAMA 'Connect-to-Connect Summit'                  unaofanyika jijini Dar es Salaam.
Wataalamu wa sekta ya mawsiliano wakiwa katika majadiliano katika mkutano wa masuala ya TEHAMA 'Connect-to-Connect Summit' unaofanyika jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka                  ya Mawasiliano Tanzania, Prof. John Nkoma (kushoto)                  akiwa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania                  (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura wakiwa katika mkutano                  huo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Prof. John Nkoma (kushoto) akiwa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura wakiwa katika mkutano huo.Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania                  (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kushoto) akiwa na Mkuu wa                  Kitengo cha Ufundi cha TTCL, Senzige Kisenge (kulia)                  wakifuatilia mada anuai zinazowasilishwa katika mkutano                  huo unaofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kushoto) akiwa na Mkuu wa Kitengo cha Ufundi cha TTCL, Senzige Kisenge (kulia) wakifuatilia mada anuai zinazowasilishwa katika mkutano huo unaofanyika jijini Dar es Salaam.
Wa pili kushoto ni Ofisa                  Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk.                  Kamugisha Kazaura, akizungumza na Waziri wa Mawasiliano                  na Huduma za Posta wa Sudan Kusini, Rebecca Okaci (wa                  tatu kulia) viongozi hao pamoja na maofisa kutoka sekta                  hiyo walikutana kimazungumzo ya kuangalia namna ya                  kushirikiana katika utendaji kazi. Mkutano huo                  umeandaliwa na TTCL kwa kushirikiana na Wizara ya                  Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.
Wa pili kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura, akizungumza na Waziri wa Mawasiliano na Huduma za Posta wa Sudan Kusini, Rebecca Okaci (wa tatu kulia) viongozi hao pamoja na maofisa kutoka sekta hiyo walikutana kimazungumzo ya kuangalia namna ya kushirikiana katika utendaji kazi. Mkutano huo umeandaliwa na TTCL kwa kushirikiana na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.Ofisa Mtendaji Mkuu wa                  Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura                  (katikati) akijadiliana jambo na Waziri wa Mawasiliano                  na Huduma za Posta wa Sudan Kusini, Rebecca Okaci (wa                  pili kulia). Wa kwanza kulia ni Mkuu wa Kitengo cha                  Ufundi cha TTCL, Senzige Kisenge.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (katikati) akijadiliana jambo na Waziri wa Mawasiliano na Huduma za Posta wa Sudan Kusini, Rebecca Okaci (wa pili kulia). Wa kwanza kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Ufundi cha TTCL, Senzige Kisenge.Ofisa Mtendaji Mkuu wa                  Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura                  (kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa Mawasiliano na                  Huduma za Posta wa Sudan Kusini, Rebecca Okaci                  (katikati). Wa kwanza kulia Mkuu wa Kitengo cha Ufundi                  cha TTCL, Senzige Kisenge.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa Mawasiliano na Huduma za Posta wa Sudan Kusini, Rebecca Okaci (katikati). Wa kwanza kulia Mkuu wa Kitengo cha Ufundi cha TTCL, Senzige Kisenge.Ofisa Mtendaji Mkuu wa                  Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura                  na Waziri wa Mawasiliano na Huduma za Posta wa Sudan                  Kusini, Rebecca Okaci (mwanamama pichani) wakiwa katika                  picha ya pamoja mara baada ya mazungumzo yao juu ya                  ushirikiano kikazi. Wengine ni maofisa waandamizi kutoka                  pande zote wa sekta ya mawasiliano.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura na Waziri wa Mawasiliano na Huduma za Posta wa Sudan Kusini, Rebecca Okaci (mwanamama pichani) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mazungumzo yao juu ya ushirikiano kikazi. Wengine ni maofisa waandamizi kutoka pande zote wa sekta ya mawasiliano.Baadhi ya                  washiriki katika mkutano wa masuala ya TEHAMA                  'Connect-to-Connect Summit' wakifuatilia mada mbalimbali                  zilizowasilishwa leo ikiwa ni siku ya pili ya mkutano                  huo unaofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki katika mkutano wa masuala ya TEHAMA 'Connect-to-Connect Summit' wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa leo ikiwa ni siku ya pili ya mkutano huo unaofanyika jijini Dar es Salaam.Baadhi ya washiriki katika                  mkutano wa masuala ya TEHAMA 'Connect-to-Connect Summit'                  wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa leo ikiwa                  ni siku ya pili ya mkutano huo unaofanyika jijini Dar es                  Salaam.
Baadhi ya washiriki katika mkutano wa masuala ya TEHAMA 'Connect-to-Connect Summit' wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa leo ikiwa ni siku ya pili ya mkutano huo unaofanyika jijini Dar es Salaam.Baadhi ya washiriki katika                  mkutano wa masuala ya TEHAMA 'Connect-to-Connect Summit'                  wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa leo ikiwa                  ni siku ya pili ya mkutano huo unaofanyika jijini Dar es                  Salaam.
Baadhi ya washiriki katika mkutano wa masuala ya TEHAMA 'Connect-to-Connect Summit' wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa leo ikiwa ni siku ya pili ya mkutano huo unaofanyika jijini Dar es Salaam.