Saturday, September 13, 2014

WAZIRI MKUU AKUTANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA



WAZIRI MKUU AKUTANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia (Managing Director and Chief Operating Officer), Sri Mulyani Indrawati,baada ya mazungumzo kati yake na ujumbe wa Benki hiyo mjini Dodoma Septemba 11, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia (Managing Director and Chief Operating Officer), Sri Mulyani Indrawati (kulia) baada ya mazungumzo rasmi kati yake na ujumbe wa Benki hiyo mjini Dodoma Septemba 11, 2014. Kushoto ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania ,Uganda na Burundi Phillipe Dongier na wapili kulia ni meneja wa mpango wa kuondoa umaskini na masuala ya uchumi Barani Afrika wa Benki hiyo, Albert Zeufack.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na ujumbe kutoka Benki ya Dunia baada ya kuzungumza nao mjini Dodoma Septemba 11, 2014. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu (Managing Director and Chief Operating Officer), Sri Mulyani Indrawati, Albert Zeufack na Jan Wallliser. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)