Tuesday, September 16, 2014

Ujumbe wa CPA watembelea Bunge la Singapore


Ujumbe wa CPA watembelea Bunge la Singapore
Kiongozi wa Msafara wa Ujumbe wa CPA Kanda ya Afrika Mhe Zitto Kabwe akiwasilisha ujumbe maalum wa CPA kwa Bunge la Singapore ambayo ilipokelewa na Dr Lam Pin Min ambae pia ni Naibu Waziri wa Afya wa Singapore na Mwakilishi wa CPA Kanda ya Asia Kusini(kulia).
Ujumbe wa CPA katika mazungumzo na Uongozi wa CPA Bunge la Singapore.
Picha ya pamoja. Picha kwa hisani ya Ofisi ya Bunge.