Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Gavana wa Ngazija Mwinyibaraka Said Soilihi (katikati) wakiwa katika mazungumzo na ya pamoja wakiwepo na Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi na Mawaziri Viongozi mbali mbali wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Comoro katika Ofisi ya Gavana huyo jana.