Friday, September 12, 2014

Rais Kikwete aagana na Balozi wa Ufaransa,amuaga pia Jaji wa Mahakama ya Afrika



Rais Kikwete aagana na Balozi wa Ufaransa,amuaga pia Jaji wa Mahakama ya Afrika
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na balozi wa Ufaransa aliyemaliza muda wake nchini Mhe.Marcel Escure wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na balozi wa Ufaransa aliyemaliza muda wake nchini Mhe.Marcel Escure wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na balozi wa Ufaransa aliyemaliza muda wake nchini Mhe.Marcel Escure wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza ikulu jijini Dar es Salaam na Jaji Sophia Akkufo Rais wa Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika(AFHPR) aliyemaliza muda wake(picha na Freddy Maro).