Monday, September 15, 2014

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO



KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Ally Kessy(kulia) na Mohammed Raza (kushoto) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha arobaini cha Bunge hilo.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wakielekea kuhudhuria kikao cha arobaini cha Bunge hilo. picha na MAELEZO_DODOMA