Tuesday, September 16, 2014

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Utumishi azindua kampeni ya upimaji afya kwa Watumishi



Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Utumishi azindua kampeni ya upimaji afya kwa Watumishi
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi (kulia) akichukua kipimo kuzindua kampeni ya upimaji Afya kwa Watumishi wa Umma hasa Virusi Vya Ugonjwa wa UKIMWI (VVU), zoezi hilo limefanyika Ofisini kwake mapema leo.
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAb Mkwizu (wa kwanza kushoto) akiwa pamoja na watumishi wengine wakati wa zoezi la kupima afya kwa Watumishi wa Umma hasa VVU mapema leo, Ofisi ya Rais-Utumishi.
ehemu ya Maofisa na Viongozi waliohudhuria zoezi la upimaji afya kwa Watumishi wa Umma lililofanyika leo Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dar es salaam.