Friday, September 12, 2014

IGP MANGU AFUNGUA JENGO LA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO MKOA WA KILIMANJARO



IGP MANGU AFUNGUA JENGO LA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO MKOA WA KILIMANJARO
Jengo la Dawati na Jinsia na Watoto lilojengwa katika kituo kikuu cha Polisi mjini Moshi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,Inspekta Jenerali wa Polisi ,Ernest Mangu akizungumza wakati wa uzinduzi wa jengo la dawati la Jinsia katka kituo kikuu cha Polisi mjini Moshi.
Kaimu kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro,Koka Moita akizungumza kabla ya kumkaribisha ,IGP ,Mangu kuzindua dawati la jinsia.
Mkuu wa Dawati la Jinsia mkoa wa Kilimanjaro,Grace Lyimo akisoma taarifa ya ujenzi wa jengo hilo.
IGP,Mangu akikata utepe kuashiria kuzinduliwa kwa dawati la jinsia katika kituo kikuu cha Polisi Moshi.
IGP ,Mangu akizindua jengo hilo kwa kufungua kitambaa akuonesha kibao chenye kumbukumbu ya ufunguzi wa jengo hilo.
IGP,Mangu akitembelea jengo hilo.
Kisha IGP,Mangu akafanya shughuli ya utoaji wa vyeti vya kutambua mchango kwa taasisi na kampuni mbalimbali zilizochangia ujenzi wa jengo hilo.
Wadau waliochangia ujenzi wa jengo hilo wakiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa jeshi la Polisi.
Kikosi cha Polisi jamii ,pia kilipata fursa ya kupata picha ya pamoja.
Watoto wa kituo cha Mkombozi wakiwa katika picha ya pamoja na IGP,Mangu.
Watoto wa kituo cha Amani wakiwa katika picha ya pamoja na IGP,Mangu.
Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini.