Tuesday, August 19, 2014

KUMBE KITUO CHA MIZANI MPEMBA NI KAMA MIKESE . TAZAMA HII CHENI.



KUMBE KITUO CHA MIZANI MPEMBA NI KAMA MIKESE . TAZAMA HII CHENI.
 Hapa ilikuwa hakuna Gari kwenda mbele wala  kurudi nyuma
 Wengine wakaanza kuchepuka 
 Jamaa Baada ya kuchepuka akakwama hapa..

Picha na Mbeya yetu