Saturday, July 12, 2014

Mhe Nkamia afungua michuano ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma



Mhe Nkamia afungua michuano ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
 Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia  katika picha ya pamoja na kikosi cha JKT  Dodoma mara baada ya kukagua vikosi hivyo.Timu hizi ndizo zilizo funguwa mashindano haya ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia  katika picha ya pamoja na Kikosi cha Police Dodoma  baada ya kukagua vikosi hivyo.Timu hizi ndizo zilizo funguwa mashindano haya ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia akikagua Kikosi cha JKT 
 Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia akikagua  Kikosi cha Police Dodoma
 Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia akilenga kapu(kufunga goli) akiashiria ufunguzi rasmi wa kufunguwa mashindano ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia akiangalia mpira alioulenga wakati akifungua mashindano ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma

Na Deusdedit Moshi wa Mtendaji Mkuu wa Photo Solutions wawakilishi mwa Michuzi Blog Kanda ya Kati.