Sunday, July 13, 2014

ANGALIA PICHA UHOLANZI WAKISHANGILIA NAFASI YAO YA TATU



ANGALIA PICHA UHOLANZI WAKISHANGILIA NAFASI YAO YA TATU
Celebration: Holland players                  show off their medals after beating Brazil in third                  place play-off
Muda wa pati ukawadia: Wachezaji wa Uholanzi wakipozi katika picha huku wakiwa na medali zao baada ya kuitandika Brazil mabao 3-0 na kushika nafasi ya tatu katika fainali za kombe la dunia mwaka 2014 nchini Brazil.
Winner: Holland coach Louis                  van Gaal receives medal from FIFA president Sepp                  Blatter
Mshindi: Kocha wa Uholanzi Louis van Gaal akipokea medali kutoka kwa rais wa FIFA, Sepp Blatter.
Dream start: Holland's Robin                  van Persie scores from the spot against Brazilian                  goalkeeper Julio Cesar
Ndoto zilianzia hapa: Nahodha wa Uholanzi, Robin van Persie alifunga bao la kuongoza kwa mkwaju wa penati na kumuacha kipa Julio Cesar akiambulia unyoya tu. Chezea RVP weyeeeeeeeeeeeee!
Cracker: Brazil goalkeeper                  Julio Cesar fails to save penalty from Robin van Persie                  in third minute
Maboya: Kipa wa Brazil, Julio Cesar akishindwa kuokoa penati ya  Robin van Persie katika dakika ya 3 ya kipindi cha kwanza.
Joy: Robin van Persie                  celebrates with team-mate Dirk Kuyt (up) after scoring                  the opening goal
Oyooo! wamekalishwa tena! : Robin van Persie akishangilia bao lake na mchezaji mwenzake  Dirk Kuyt (aliyempanda juu)
Clinical: Holland defender                  Daley Blind lashes the ball into the net for second goal                  against Brazil
Hesabau tu!: Beki wa Uholanzi, Daley Blind akipiga shuti kuandika bao la pili dhidi ya Brazil.
All together now: Daley                  Blind (second left) celebrates scoring Holland's second                  goal against Brazil
Freshi sana wana!: Daley Blind (wa pili kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi bao la pili dhidi ya Brazil 
Blow: Holland defender Daley                  Blind was injured in challenge on Brazil's Oscar (left)
Beki wa Uholanzi alipata majeraha wakati akichuana na Oscar wa Brazil  (kushoto).
Agony: Injured defender                  Daley Blind is carried off on a stretcher
Beki aliyejeruhiwa akiwa amepata lifti ya machela 
Clincher: Holland midfielder                  Georginio Wijnaldum seals victory with injury-time                  strike
Kingine hicho: Kiungo wa Uholanzi,  Georginio Wijnaldum akifunga bao la tatu na la ushindi katika dakika za majeruhi.
Clincher: Holland midfielder                  Georginio Wijnaldum seals victory with injury-time                  strike
Kaah! si majanga haya jamani, umefanya nini Georginio Wijnaldum? 
Nightmare: Injured Neymar                  couldn't bear to watch as Brazil went down to Holland
Usiku wa maajabu: Majeruhi Neymar hakuweza hata kutazama mechi hiyo.