Wednesday, June 11, 2014

Ziara ya mafunzo ya wanachuo na wanafunzi wa shule za msingi bungeni Dodoma



ziara mafunzo ya wanachuo na wanafunzi wa shule za msingi bungeni dodoma leo
 Mbunge wa viti maalum,  Mhe.Susan Kiwanga akiwapa maelezo wanachuo kutoka chuo cha Uuguzi  cha Edgar Maranta Ifakara ambao wapo katika ziara ya kimafunzo Bunge.
 Mbunge wa Chalinze Mhe.Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wanafunzi kutoka Mvomero ambao wapo katika ziara ya kimafunzo katika kujionea shjughuli za Bunge.
 Mhe.Ridhiwani Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na na Wanafunzi kutoka Mvomero katika viwanja vya Bunge.
 Mbunge wa Mvomero Mhe Amos Makala ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maji (katikati mbele) akiwatembeza wanafunzi kutoka jimboni mwake ambao wametembelea  Bunge katika ziara ya ziara ya kimafunzo.
 Wanafunzi kutoka Shule ya Saba Saba Iringa Wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri Ofisi ya Rais Asiye na Wizara Maalum amahe Prof.Marck Mwandosya ( Mstari wa NyumaKatikati) mbele ya Ukumbi wa Bunge.

.

 -Wanafunzi kutoka Shule ya M/Singi St.Theresia ya Mbezi Dar es  Salaam ambao wapoi katika ziara ya kimafunzo wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya jingo nla bunge Dodoma
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Chem-Chemu Iliyopo Ndachi, Nkuhungu Dodoma wakiwa wamekaa wakijisomea vipeperushi  yenye kuonesha taratibu na shughuli za bunge kila siku,wakati wakisubiri usafiri mara baada ya bunge kuahirishwa. Na Deusdedit Moshi Mtendaji Mkuu wa Photo Solutions wawakilishi wa Mchuzi Blog Kanda ya Kati.