Wednesday, June 11, 2014

TASWIRA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO



TASWIRA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO
 Naibu Waziri wa Fedha Mhe.Mungulu Nchema akigombewa kusalimiwa na Wanafunzi kutoka Shule ya Msingi Assumpta iliyopo Hai Mkoani Kilimanjaro.Wanafunzi hawa wanatembelea Bunge kwa ziara ya kimafunzo.
 Naibu Waziri wa Fedha Mhe.Mungulu Nchema katikati Mstari wa Nyuma akiwa katika Picha ya pamoja na Wanafunzi kutoka Shule ya Msingi Assumpta iliyopo Hai Mkoani Kilimanjaro
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuju,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe.Aggrey Mwanri akiwa katika Picha ya pamoja na Wanafunzi kutoka Shule ya Msingi Assumpta iliyopo Hai Mkoani Kilimanjaro.
  Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuju,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe.Aggrey Mwanri akiongea  na Wanafunzi kutoka Shule ya Msingi Assumpta iliyopo Hai Mkoani Kilimanjaro.
 Waziri wa Ujenzi Mhe.John Magufuli (kulia)  akijadiliana na kubadilishana mawazo na Waziri wa nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum)  Mhe. Profesa Mark Mwandosya mara baada ya bunge kuahirishwa leo mchan
Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe.Prof Anna Tibaijuka kushoto akibadilishana mawazo na Waziri wa Zamani wa Ardhi Mhe. John Chiligati  mara baada ya bunge kuahirishwa leo mchana. Na Deusdedit Moshi Mtendaji Mkuu wa Photo Solutions wawakilishi wa Michuzi Blog Kanda ya Kati.