Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita kituo cha Mwenge jijini Dar es salaam bila kusimama, ikiwa ni siku ya kwanza wasafirishaji hao kuamriwa kutumia kituo cha Makumbusho ambacho inaelekea hawaafiki.
Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote
Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi kikiwa Kitupu Muda huu
Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja
Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge