Mihangaiko | Hapa na Pale
Hapa na Pale Katika Maisha
Friday, October 12, 2012
KMKM YAITUNGUA MTENDE MABAO 2-1
Wachezaji Ali Manzi ( No.11 ) wa timu ya Mtende na Aziz Aziz (No.13) wa timu ya KMKM wakichuana kwenye mchezo wa ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar jana kwenye uwanja wa Amaan zanzibar. KMKM iliilaza Mtende mabao 2 kwa 1. Picha na Martin Kabemba.
Newer Post
Older Post
Home