Saturday, October 06, 2012

Just In: Kuna ajali imetokea Eneo la Mafiati Mbeya muda huu, kati ya Pick Up na Hiace . Watu watatu wanusurika Kifo!



 Hivi ndivyo Daladala ilivyo gongwa na pick up

 Kioo cha daladala kikiwa kimebomoka bomoka baada ya ajali
 Hili Ndilo Gari aina ya Pick up ambalo ndilo limesababisha ajali hiyo
 Baadhi ya watu wakiwa wanakuja kushuhudia tukio

 Watu wakiwa wameongezeka kushuhudia tukio


**********************************
Ajali hii imetokea muda huu maeneo ya Mafiati Jijini Mbeya ambapo imesababishwa na Gari aina ya Pick up ambayo ilikuwa katika Mwendo kasi sana na kushindwa kuhimili mwendo kasi wake kisha Kugonga Hiace ambayo ilikuwa imetoka Iyunga kuelekea Mwanjelwa. Katika ajali hii watu watatu wamejeruhiwa.

PICHA ZOTE NA : www.mbeyayetu.blogspot.com