Tuesday, September 11, 2012

MAANDAMANO YA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA IRINGA KULAANI MAUAJI YA MWANGOSI


 Mtaa wa mshindo
 Wakipita mtaa wa uhindini
 
 Mwandishi wa habari wa startv Malembea akiwa amebeba picha kubwa ya marehemu mwangosi
 Waandishi wa habari wakiwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali
 
 
 
 Waandishi wa Habari Iringa wakijiandaa kuanza maandamano ya amani