Monday, September 17, 2012

KIKAO CHA KAMATI YA SIASA CCM MKOA WA SINGIDA CHAFANYIKA.

 

Mwenyekiti wa sasa wa CCM mkoa wa Singida,J oramu Allute (kushoto) akibadilishana mawazo  na  katibu msaidizi wa CCM mkoa, Mohammed Ndembo.

 

Mbunge wa jimbo la Manyoni Magharibi,Mh. John Lwanji (kushoto) na mjumbe mwanzake wa kamati ya siasa mkoa wa Singida, Nyekele wakibadilishana mawazo.

 

Mjumbe wa NEC mkoa wa Singida na mbunge wa jimbo la Singida mjini Mohammed Gullam Dewji (kushoto) na katibu wa fedha na uchumi mkoa wa Singida, Ahamed Athumani Kaburu wakisubiri kuanza kwa kikao cha kamati ya siasa mkoa wa Singida.

 

Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa CCM mkoa wa Singida, Mgana Izumbe Msindai (kushoto) akibadilishana mawazo na mwanaccm mwenzake.

 

Baadhi ya wajumbe wa kamati ya siasa mkoa wa Singida wakisubiri kuanza kwa kikao.

 

Baadhi ya wajumbe wa kamati ya siasa mkoa wa Singida na wagombea nafasi mbalimbali za uongozi, wakibadilishana mawazo nje ya ofisi ya CCM mkoa wakisubiri kuanzwa kwa kikao cha kamati ya siasa. 

 

Baadhi ya wajumbe wa kamati ya siasa mkoa wa Singida na waombaji wa nafasi mbalimbali wakiwa nje ya ofisi ya CCM mkoa wa Singida wakisubiri kuanza kwa kikao.(Picha zote na Nathaniel Limu).