Saturday, September 01, 2012

Ajali Yatokea Buguruni



 

 

 

 

 
 vijana hawa hawatoi msaada bali wanaiba redio
 

 
Ni kati ya daladala na gari dogo.naam badala ya watu kusaidia majeruhi kwenye gari dogo watu waliofika kwanza nimeona wakichomoa redio kwenye gari.