Nahodha wa Hispania, Iker Casillas
akiwa ameinua kombe la Euro 2012 wakati akishangilia na wachezaji
wenzake baada ya kutwaa kombe hilo kwa kuwafunga Italia bao 4-0 kwenye
fainali iliyopigwa katika uwanja wa Olympic mjini Kiev, Ukraine leo.
(Picha kwa hisani ya Getty Images)