
Jamani hayo ndio madhara ya Mabomu

Madhara ya Mabomu

Mwanamke hakufahamika kwa jina akiwa amenyanyua Bendera
Wazee wa Mujini, aka wazee wa kazi wakiwa kwenye utekelezaji wa kulinda usalama wa watu na Mali zao. Nani anabisha, chezea wewe uipate kitu fresh.
Tukio la Mahonda kabla ya kufika Donge jeshi la polisi lilipotumia nguvu dhidi ya waumini waliokuwa wakenda katika mhadhara uliopangwa kufanyika katika moja ya misikiti ya Donge.