Monday, April 02, 2012

Tume yatangaza rasmi-CHADEMA yashinda kwa kishindo


Tume ya Taifa ya Uchaguzi wanatangaza matokeo rasmi sasa hivi kula halali: 60038

Zilizokataliwa 661

Wagombea:

Mazengo Adam (AFP) 139

Charles Msuya (UDP) 18

TLP 18

Kirita Shauri Moyo 22

Hamisi Kiemi 35

Mohammed DP 77

Sumari Solomon 26757

Nassari Joshua 32,972

Mungu yupo upande wetu CHADEMA, na hii ni indicator tu ya 2015, hakuna
cha mkapa wala wassira, Lowasa wala nani, kilichoangaliwa ni sera!