Sunday, July 17, 2016

Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Tabora azindua Wema Group


Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Tabora azindua Wema Group
Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Tabora, Hawa Mwaifunga (wa tatu kulia) akizumuka pamoja na Wakina Mama wa Mkoa huo, wakati hafla ya Uzinduzi wa mradi wa mafuta ya Alizeti kwa kikundi cha Wakinamama kiitwacho Wema Group, uliofanyika katika kata ya Malolo Mkoani humo.
Sehemu ya Wanachama wa Kikundi hicho cha Wema Group, wakimsikiliza Mbunge wa viti maalum mkoa wa Tabora, Hawa Mwaifunga (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao.
wa viti maalum mkoa wa Tabora, Hawa Mwaifunga akijadiliana jambo na Mmoja wa Wajumbe wa Chama hicho.