Tuesday, March 15, 2016

KUMBUKUMBU YA STEPHEN JONATHAN STEPHEN



KUMBUKUMBU YA STEPHEN JONATHAN STEPHEN
Leo tarehe 15 Machi 2016 ni miaka 16 tangu utwaliwe kutoka duniani. 

Tulikupenda sana kaka na bado tunakumbuka uchangamfu wako, utani na kutoa msaada wako kwetu bila kuchoka.

Unakumbukwa na dada zako, wajomba, baba, jamaa na rafiki zako.

Tunaamini ya kuwa kimwili hauko nasi ila kiroho tuko pamoja tukitegemea kuwa siku moja tutajaonana.

Tutaendeleza yale uliyokuwa ukiyafanya wakati wa uhai wako.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihidimiiwe.