Saturday, January 03, 2015

SHUGULI MBALIMBALI ZA WAZIRI MKUU PINDA NA MKEWE MAMA TUNU WILAYANI MLELE


SHUGULI MBALIMBALI ZA WAZIRI MKUU PINDA NA MKEWE MAMA TUNU WILAYANI MLELE
Wanakwaya wa kwaya ya Makuhani ya Kanisala la EAGT Makanyagio, Mpanda wakiimba katika uzinduzi wa Album yao ya Tuiombee Afrika uliofanywa na mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda kwenye ukumbi wa Shule ya Saint Mary's ya Mpanda Desemba 31, 2014.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanakwaya wa kwaya ya Makuhani ya Makanyagio, Mpanda wakati alipozindua Album yao ya Tuiombee Afrika kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Saint Mary's Desemba 31, 2014.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akionyesha DVD ya Tuiombee Afrika ya kwaya ya Makuhani ya Kanisa la EAGT la Makanyagio, Mpanda wakati alipozindua Album hiyo kwenye ukumbi wa Saint Mary's mjini Mpanda Desemba 31, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na walimu wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembeklea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembeklea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)