Monday, November 24, 2014

Wanachama wa SACCOS ya Katoro, Geita watembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


Wanachama wa SACCOS ya Katoro, Geita watembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

PG4A1441

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza  na baadhi ya wanachama wa SACCOS ya Katoro , Geita waliotembelea Bunge mjini Dodoma Novemba 24, 2014 kwa mwaliko wa Mbunge wao, Lolesia Bukwimba. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1432

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika  picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa SACCOS ya Katoro, Geita waliotembelea Bunge  mjini Dodoma kwa mwaliko wa  Mbunge wao wa jimbo la Busanda Lolesia Bukwimba  (wapili kushoto kwake)  Novemba 24, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).