Tuesday, November 04, 2014

MAMA KIKWETE NACHINGWEA


MAMA KIKWETE NACHINGWEA

unnamed3Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ,akipokelewa jana  na baadhi ya  viongozi wa Wilaya ya Nachingwea, wakiwemo viongozi wa Chama cha Mapinduzi  wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali  za chama hicho.

unnamed5Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ,ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) akivishwa skafu na  kijana  wa chipukizi wa Chama cha Mapinduzi  wakati alipowasili katika  wilaya ya Nachingwea  kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho.unnamed6Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifurahia jambo jana na baadhi ya wana Chama cha Mapinduzi  mara baada ya  kupokelewa  katika  Wilaya ya Nachingwea jana wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho.unnamed7Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), akisalimiana  jana na baadhi ya wanachama wa CCM mara baada ya  kupokelewa  katika  Wilaya ya Nachingwea jana wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho.
unnamed8Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), akisalimiana  jana na baadhi ya wanachama wa CCM mara baada ya  kupokelewa  katika  Wilaya ya Nachingwea jana wakati alipowasili wilayani humo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za chama hicho.