Sunday, October 12, 2014

UP DATES:Ratiba ya kamili na kupokelewa kwa mwili wa Marehemu Omar Ndege Mgori



UP DATES:Ratiba ya kamili na kupokelewa kwa mwili wa Marehemu Omar Ndege Mgori
Marehemu Omar Ndege Mgori

Mwili wa marehemu Omar Ndege Mgori unaondoka leo hii huko nchini India na utapokelewa siku ya Jumapili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere Dar es salaam Saa Saba mchana siku hiyo.

Mazishi yatafayika siku ya jumatatu Oktoba 13,2014 kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.

Msiba kwa sasa upo Mbezi beach nyumbani kwa marehemu.

Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa pindi zitakapo kuwa zikitufikia.