Tuesday, September 16, 2014

VODACOM YAZINDUA HUDUMA MAALUM KWA WAFANYABIASHARA WA JUMLA NA REJAREJA



VODACOM YAZINDUA HUDUMA MAALUM KWA WAFANYABIASHARA WA JUMLA NA REJAREJA
Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twissa (katikati) akiongea na waandishi wa habari wakati akizindua huduma ya LIPA KWA M PESA inayowawezesha wasambazaji wa huduma kupokea malipo ya mauzo kwa njia ya M-pesa kutoka kwa wauzaji wajumla. Kampuni ya Chai Bora na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia wasamabzaji wake kampuni ya Mahawi zimkuwa miongoni mwa wasambazaji wa awali kutumia huduma hiyo. Wengine pichani ni Mwakilishi wa Mahawi Enterprises Joseph Mahawi na kulia ni Meneja wa maendeleo ya Biashara wa Chai Bora Martin Ng'ethe.
aadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania na Chai Bora wakifuatilia mkutano wa waandishi wa habari kuhusiana na uzinduzi wa huduma mpya ya LIPA KWA M PESA inayowawezesha wasambazaji wa huduma kupokea malipo ya mauzo kwa njia ya M-pesa kutoka kwa wauzaji wajumla. Kampuni ya Chai Bora na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia wasamabzaji wake kampuni ya Mahawi zimkuwa miongoni mwa wasambazaji wa awali kutumia huduma hiyo.