Sunday, August 31, 2014

SOUTHERN AFRICAN FASHION SHOW YAFANYIKA KWA KISHINDO


SOUTHERN AFRICAN FASHION SHOW YAFANYIKA KWA KISHINDO
Washereheshaji wakifanya vitu vyao kwenye usiku wa onesho la mavazi kutoka kwa wanamitindo na wabunifu mbalimbali kutoka nchi kusini mwa Afrika wakiwemo wabunifu wawili Watanzania waliopendezesha maonesho hayo.
 
Juu na chini ni bendera kutoka nchini za kusini mwa Afrika zikipita kwenye ufunguzi wa maonesho hayo yaliyofanyika siku ya Ijumaa Aug 29, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.