Friday, July 11, 2014

Dk.Shein ziarani Kusini Pemba



Dk.Shein ziarani Kusini Pemba
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mshauri wa Rais Uwekezaji Bw.Abrahman Mwinyi Jumbe (kushoto) akipotembelea shamba la ufugaji wa samaki la kikundi cha Hakiliki Mwambe kusini Pemba jana. 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wananchi wa  wanakikundi cha Ufugaji wa Samaki cha Hakiliki Mwambe kusini Pemba jana,wa Pili (kulia) Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdilahi Jihadi Hassan
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiteta na Watoto wa Kijiji cha Mwambe  mara baada ya kuzungumza na Wananchi wa  wanakikundi cha Ufugaji wa Samaki cha Hakiliki  jana,alipofanya ziara katika Mkoa wa Kusini Pemba.