Friday, June 06, 2014

MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA YATOA MSISITIZO WA USIMAMIZI WA SHERIA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA


MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA YATOA MSISITIZO WA USIMAMIZI WA SHERIA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA
Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema ambaye alimwakilisha mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki (katikati) akipokea maandamano ya wadau mbalimbali wakati wa maadhimisho ya kilele cha wiki ya mazingira jijini Dar es salaam.Kulia ni Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Silaa. 
Baadhi ya wananchi na wanafunzi kutoka shule mbalimbali za jiji la Dar es salaam wakiwa kwenye maandamano huku wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbalimbali wakati wa kilele cha wiki ya mazingira duiniani leo.
Baadhi ya wananchi na wanafunzi kutoka shule mbalimbali za jiji la Dar es salaam wakiwa kwenye maandamano huku wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbalimbali wakati wa kilele cha wiki ya mazingira duiniani leo.
Kikundi cha ngoma za asili kutoka shule ya msingi Umoja kikitoa burudani wakati wa maadhimisho ya wiki ya Mazingira yaliyofanyika katika uwanja wa Mnazimmoja jijini Dar es salaam.

Baadhi ya wafanyakazi na wadau wanaojihusisha na shughuli za usafi na usimamizi wa mazingira jijini Dar es salaam wakiwa na zana zao za kazi wakati wa maadhimisho ya wiki ya Mazingira yaliyofanyika katika uwanja wa Mnazimmoja jijini Dar es salaam.