Thursday, June 05, 2014

Kutoka bungeni Dodoma leo



kutoka bungeni dodoma leo
Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wabunge Mhe Zainab  Kawawa wa Viti Maalum (kushoto), Sylivester  Mabumba wa Dole (wapili kushoto), Mhe. Vita Kawawa wa Namtumbo na Mwanaharakati wa Haki za Wanawake na Watoto, Mama Terry Gbemudu (kulia) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo