Wednesday, October 03, 2012

DAR ES SALAAM BERBY, NANI KUIBUKA ZIADI YA MWINGINE KATI YA SIMBA NA YANGA?




Moja kati ya matukio ambayo watanzania wanayasubiri leo katika historia ni mechi ya watani wa jadi [Dar es Salaam Derby] kati ya Simba na Yanga .

Timu zote zimejiandaa na kila mmoja akijitapa kuumiza mwenzie. Mechi ya mwisho kukutana Simba alimfunga Yanga bao 5-1.  Je leo nani ataibuka kidedea?