| Baadhi ya vyombo vya wakazi wa eneo hilo waliobomolewa nyumba zao vikiwa nje. |
| Zoezi la bomoa bomoa likiwa limepamba moto. |
Zoezi la kubomoa nyumba zilizopo mabondeni eneo la Hananasif katika wilaya ya Kinondoni
jijini Dar likiendelea leo.
|
| Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Charles Kenyera akizungumza na wanahabari wakati wa zoezi la bomoa bomoa. |