Thursday, August 16, 2012

Burudani katika uzinduzi wa awamu ya tatu ya TASAF mjini Dodoma

Mwanamuziki Diamond Platinumz akikamua jukwaani wakati wa uzinduzi wa awamu ya tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF uliofanyika Mjini Dodoma leo.
 Mwanamuziki Diamond Platinumz na wachezaji wake wakifanya vitu vyao wakati wa uzinduzi wa awamu ya tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF Mjini Dodoma
 Kundi la wachekeshaji Orijino Komedy nalo lilikuwepo Mjini Dodoma kuchagiza uzinduzi wa awamu ya tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF.

Picha ya pamoja kati ya Rais Kikwete, viongozi mbalimbali na wafanyakazi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF wakati wa kuhitimisha sherehe za uzinduzi wa awamu ya tatu ya TASAF Mjini Dodoma